Tazama Yusuph alivyotangazwa kuwa mshindi BSS 2021, atokwa machozi



 VIDEO : Tazama Yusuph alivyotangazwa kuwa mshindi BSS 2021, atokwa machozi

Ni January 29, 2021 ambapo zilifanyika fainali za mashindano ya Bongo Star Search 202i katika ukumbi wa Ubungo Plaza, sasa Ayo TV & Millardayo.com imenasa tukio la namna mshindi wa BSS aitwae Yusuph a.k.a Yuzo alivyotangazwa na kukabidhiwa Milioni 20.

MIZUKA YA MAJAJI WANYANYUKA KUCHEZA KWENYE PERFOMANCE YA MSHIRIKI YUSUPH ‘YUZO’

Post a Comment

Previous Post Next Post